Add parallel Print Page Options

Yesu Aanza Kazi yake Galilaya

(Mt 4:12-17; Lk 4:14-15)

14 Baada ya Yohana kuwekwa gerezani, Yesu akaja katika wilaya karibu na Ziwa Galilaya, huko aliwatangazia watu Habari Njema kutoka kwa Mungu. 15 Akasema, “Wakati umefika. Ufalme wa Mungu umewafikia.[a] Mbadili mioyo yenu na maisha yenu, na kuiamini habari njema!”

Read full chapter

Footnotes

  1. 1:15 umewafikia Au “unakuja upesi”, au “umekwisha kuja”.