Add parallel Print Page Options

Yesu Aanza Kazi yake Galilaya

(Mt 4:12-17; Mk 1:14-15)

14 Yesu alirudi Galilaya akiwa na nguvu za Roho Mtakatifu. Habari zake zilisambaa katika eneo lote lililozunguka Galilaya. 15 Alianza kufundisha katika masinagogi na kila mtu alimsifu.

Read full chapter