Ninyi mnamtumikia Bwana Kristo. Mtu atendaye uovu atalipwa kwa uovu wake, wala hakuna atakayependelewa. Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu haki na ilivyo sawa mkitambua ya kwamba ninyi pia mnaye Bwana mbinguni.

Maagizo Zaidi

Dumuni katika maombi, mkikesha na kushukuru. Pia tuom beeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango tupate kutoa ujumbe wetu na kuitangaza siri ya Kristo ambayo kwa ajili yake mimi nimefungwa gerezani. Ombeni kwamba niwezeshwe kuitangaza Injili kwa ufasaha, kama inipasavyo kusema.

Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkiutumia wakati wenu vizuri. Mazungumzo yenu yawe ya unyen yekevu wakati wote, yawe ya kuvutia, ili mjue jinsi ya kumjibu kila mtu.

Tikiko atawaelezeeni habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mfanyakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana. Nimemtuma kwenu kwa madhumuni kwamba mpate kufahamu hali yetu na pia awatie moyo. Anakuja pamoja na Onesmo ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mtu wa kwenu. Watawaelezeeni mambo yote yanayotendeka huku.

Salamu Na Maagizo Ya Mwisho

10 Aristarko aliyefungwa gerezani pamoja nami anawasalimu, hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, anawasalimu. Mmek wisha kupokea maagizo yanayomhusu. Akija kwenu, mpokeeni. 11 Na Yesu, yule aitwaye Yusto, pia anawasalimuni. Hawa tu, ndio Way ahudi kati ya watu tunaofanya nao kazi kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao wamekuwa faraja kwangu. 12 Epafra, ambaye ni mtu wa kwenu, na mtumishi wa Kristo Yesu , anawasalimu. Yeye anawaombea kwa bidii kila wakati kwamba msimame imara katika mapenzi yote ya Mungu mkiwa mmekomaa na mkiwa thabiti. 13 Ninashuhudia kwamba anaomba kwa bidii kwa ajili yenu na kwa ajili ya ndugu wa Laodikia na Hierapoli. 14 Luka, yule daktari mpendwa, pamoja na Dema, wanawasalimu. 15 Nisalimieni ndugu wote wa Laodikia na pia Nimfa pamoja na kanisa linalokutana nyumbani kwake.

16 Mkisha somewa barua hii, hakikisheni kuwa inasomwa pia na ndugu wa Laodikia. Na ninyi pia hakikisheni kuwa mnasoma barua inayotoka Laodikia.

17 Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma ambayo umeipokea katika Bwana.”

Masters, give unto your servants that which is just and equal; knowing that ye also have a Master in heaven.

Continue in prayer, and watch in the same with thanksgiving;

Withal praying also for us, that God would open unto us a door of utterance, to speak the mystery of Christ, for which I am also in bonds:

That I may make it manifest, as I ought to speak.

Walk in wisdom toward them that are without, redeeming the time.

Let your speech be always with grace, seasoned with salt, that ye may know how ye ought to answer every man.

All my state shall Tychicus declare unto you, who is a beloved brother, and a faithful minister and fellowservant in the Lord:

Whom I have sent unto you for the same purpose, that he might know your estate, and comfort your hearts;

With Onesimus, a faithful and beloved brother, who is one of you. They shall make known unto you all things which are done here.

10 Aristarchus my fellowprisoner saluteth you, and Marcus, sister's son to Barnabas, (touching whom ye received commandments: if he come unto you, receive him;)

11 And Jesus, which is called Justus, who are of the circumcision. These only are my fellowworkers unto the kingdom of God, which have been a comfort unto me.

12 Epaphras, who is one of you, a servant of Christ, saluteth you, always labouring fervently for you in prayers, that ye may stand perfect and complete in all the will of God.

13 For I bear him record, that he hath a great zeal for you, and them that are in Laodicea, and them in Hierapolis.

14 Luke, the beloved physician, and Demas, greet you.

15 Salute the brethren which are in Laodicea, and Nymphas, and the church which is in his house.

16 And when this epistle is read among you, cause that it be read also in the church of the Laodiceans; and that ye likewise read the epistle from Laodicea.

17 And say to Archippus, Take heed to the ministry which thou hast received in the Lord, that thou fulfil it.

18 The salutation by the hand of me Paul. Remember my bonds. Grace be with you. Amen.