Kuzingatia Mafundisho

Kwa hiyo, hatuna budi kuzingatia kwa makini mambo tuliyof undishwa tusije tukatanga-tanga mbali na yale tuliyosikia. Kwa maana kama ujumbe ulioletwa na malaika ulithibitika kuwa kweli, na kila aliyeasi na kutokutii akaadhibiwa ilivyostahili, sisi je? Tutaepukaje kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu kwanza ulitangazwa na Bwana, na ulithibitishwa kwetu na wale wal iomsikia. Mungu pia aliushuhudia kwa ishara na miujiza na maaj abu mbalimbali, pamoja na karama za Roho Mtakatifu alizogawa kufuatana na mapenzi yake.

Wokovu Umeletwa Na Kristo

Maana Mungu hakuuweka ulimwengu ujao, tunaouzungumzia, chini ya mamlaka ya malaika. Bali kama inavyothibitishwa katika sehemu fulani ya Maandiko, “Mwanadamu ni kitu gani hata umfi kirie, au mwana wa binadamu ni nani hata umjali? Umemfanya kuwa chini kidogo ya malaika; wewe umemvika taji ya utukufu na heshima, umemfanya kuwa mtawala wa vitu vyote.” Mungu ali poweka vitu vyote chini ya mamlaka ya mwanadamu, hakubakiza cho chote ambacho mwanadamu hakitawali. Lakini kwa wakati huu hatuoni kama kila kitu kiko chini ya mamlaka yake. Lakini tunamwona Yesu, ambaye kwa muda mfupi alifanywa kuwa chini kidogo ya mal aika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu aliteseka na kufa, ili kwa neema ya Mungu, aonje mauti kwa ajili ya watu wote.

10 Kwa maana ilikuwa ni sawa kabisa kwamba Mungu, ambaye kwa ajili yake na kwa uweza wake vitu vyote vimekuwepo, amfanye Mwan zilishi wa wokovu wao kuwa mkamilifu kwa njia ya mateso, ili awalete wana wengi washiriki utukufu wake. 11 Maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa, wote wanatoka katika uzao mmoja. 12 Ndio maana Yesu haoni aibu kuwaita wao ndugu zake, akisema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katikati yao nitakusifu.” 13 Na tena anasema, “Nitamwekea Mungu tumaini langu.” Na tena, “Niko hapa, mimi pamoja na watoto niliopewa na Mungu.”

Mungu.”

14 Basi, kwa kuwa watoto hao wana mwili na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kufa kwake apate kumwan gamiza yule mwenye mamlaka juu ya kifo, yaani shetani; 15 na hivyo awaweke huru wale ambao walikuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa kifo. 16 Maana ni wazi kwamba hakuja kuwa saidia malaika bali kuwasaidia uzao wa Ibrahimu. 17 Kwa sababu hii ilibidi awe kama ndugu zake kwa kila hali, apate kuwa kuhani mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika huduma ya Mungu, ili aweze kujitoa kama sadaka kwa ajili ya dhambi za watu. 18 Na kwa kuwa yeye mwenyewe ameteswa na kujaribiwa, anaweza kuwasaidia wanaoj aribiwa.

Warning to Pay Attention

We must pay the most careful attention, therefore, to what we have heard, so that we do not drift away.(A) For since the message spoken(B) through angels(C) was binding, and every violation and disobedience received its just punishment,(D) how shall we escape if we ignore so great a salvation?(E) This salvation, which was first announced by the Lord,(F) was confirmed to us by those who heard him.(G) God also testified to it by signs, wonders and various miracles,(H) and by gifts of the Holy Spirit(I) distributed according to his will.(J)

Jesus Made Fully Human

It is not to angels that he has subjected the world to come, about which we are speaking. But there is a place where someone(K) has testified:

“What is mankind that you are mindful of them,
    a son of man that you care for him?(L)
You made them a little[a] lower than the angels;
    you crowned them with glory and honor
    and put everything under their feet.”[b][c](M)

In putting everything under them,[d] God left nothing that is not subject to them.[e] Yet at present we do not see everything subject to them.[f] But we do see Jesus, who was made lower than the angels for a little while, now crowned with glory and honor(N) because he suffered death,(O) so that by the grace of God he might taste death for everyone.(P)

10 In bringing many sons and daughters to glory, it was fitting that God, for whom and through whom everything exists,(Q) should make the pioneer of their salvation perfect through what he suffered.(R) 11 Both the one who makes people holy(S) and those who are made holy(T) are of the same family. So Jesus is not ashamed to call them brothers and sisters.[g](U) 12 He says,

“I will declare your name to my brothers and sisters;
    in the assembly I will sing your praises.”[h](V)

13 And again,

“I will put my trust in him.”[i](W)

And again he says,

“Here am I, and the children God has given me.”[j](X)

14 Since the children have flesh and blood,(Y) he too shared in their humanity(Z) so that by his death he might break the power(AA) of him who holds the power of death—that is, the devil(AB) 15 and free those who all their lives were held in slavery by their fear(AC) of death. 16 For surely it is not angels he helps, but Abraham’s descendants.(AD) 17 For this reason he had to be made like them,[k](AE) fully human in every way, in order that he might become a merciful(AF) and faithful high priest(AG) in service to God,(AH) and that he might make atonement for the sins of the people.(AI) 18 Because he himself suffered when he was tempted, he is able to help those who are being tempted.(AJ)

Footnotes

  1. Hebrews 2:7 Or them for a little while
  2. Hebrews 2:8 Psalm 8:4-6
  3. Hebrews 2:8 Or You made him a little lower than the angels;/ you crowned him with glory and honor/ and put everything under his feet.”
  4. Hebrews 2:8 Or him
  5. Hebrews 2:8 Or him
  6. Hebrews 2:8 Or him
  7. Hebrews 2:11 The Greek word for brothers and sisters (adelphoi) refers here to believers, both men and women, as part of God’s family; also in verse 12; and in 3:1, 12; 10:19; 13:22.
  8. Hebrews 2:12 Psalm 22:22
  9. Hebrews 2:13 Isaiah 8:17
  10. Hebrews 2:13 Isaiah 8:18
  11. Hebrews 2:17 Or like his brothers