Mwana- Kondoo Avunja Mihuri Saba

Kisha nikamwona Mwana -Kondoo akifungua mhuri wa kwanza kati ya ile mihuri saba. Nikasikia mmoja wa wale viumbe wanne akisema kwa sauti kama ya ngurumo: “Njoo!” Nikaangalia, na hapo mbele yangu nikaona farasi mweupe na aliyempanda alikuwa na upinde, na alipewa taji akatoka kama mshindi akaendelee kushinda.

Mwana-Kondoo alipofungua muhuri wa pili, nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!” Akatoka farasi mwingine mwekundu sana na aliyempanda alipewa uwezo wa kuondoa amani duniani na kuwafanya watu wauane. Yeye alipewa upanga mkubwa.

Mwana-Kondoo alipofungua muhuri wa tatu, nilimsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikaangalia na mbele yangu nikaona farasi mweusi, na aliyempanda alikuwa na mizani mkononi mwake. Nikasikia kitu kama sauti kati ya hao viumbe wanne hai, ikisema, “Kibaba kimoja cha ngano kwa mshahara wa siku moja! na vibaba vitatu vya shayiri kwa mshahara wa siku moja! Lakini usi haribu mafuta wala divai!”

Mwana-Kondoo alipofungua muhuri wa nne, nilisikia sauti ya yule kiumbe hai wa nne ikisema, “Njoo!” Nikaangalia na mbele yangu nikamwona farasi mwenye rangi ya kijivu. Aliyempanda huyo farasi aliitwa mauti, naye alikuwa akifuatana na kuzimu. Nao wal ipewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia.

Mwana-Kondoo alipofungua muhuri wa tano, niliona chini ya madhabahu, roho za watu waliouawa kwa ajili ya neno la Mungu na kwa ushuhuda wao. 10 Wakalia kwa sauti kuu wakisema, “Bwana Mwenyezi, uliye mtakatifu na mwaminifu, utakawia mpaka lini kuwa hukumu na kulipiza kisasi juu ya watu wote waishio duniani kwa ajili ya damu yetu?” 11 Kisha kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe. Wakaambiwa wasubiri kidogo zaidi mpaka idadi ya ndugu zao na watumishi wenzao wanaopaswa kuuawa kama wao walivyouawa, ita kapotimia.

12 Nilitazama Mwana-Kondoo alipokuwa akifungua muhuri wa sita. Pakatokea tetemeko kuu la nchi na jua likawa jeusi kama gunia lililotengenezwa kwa manyoya ya mbuzi. Mwezi wote ukawa mwekundu kama damu. 13 Nyota zikaanguka ardhini kama vile mat unda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapoti kiswa na upepo mkali. 14 Anga ikatoweka kama vile karatasi inav yosokotwa; na kila mlima na kila kisiwa vikaondolewa mahali pake.

15 Ndipo wafalme wa duniani, wakuu wote, majemadari, mata jiri , wenye nguvu; na kila mtu, mtumwa na aliye huru, wakajifi cha mapangoni na kwenye miamba ya milima. 16 Wakaisihi milima na miamba wakisema, “Tuangukieni, mkatufiche tusionwe na uso wake yeye aketiye kwenye kiti cha enzi na mtuepushe na ghadhabu ya Mwana-Kondoo. 17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imekuja, na ni nani awezaye kusalimika?”

The Seals

I watched as the Lamb(A) opened the first of the seven seals.(B) Then I heard one of the four living creatures(C) say in a voice like thunder,(D) “Come!” I looked, and there before me was a white horse!(E) Its rider held a bow, and he was given a crown,(F) and he rode out as a conqueror bent on conquest.(G)

When the Lamb opened the second seal, I heard the second living creature(H) say, “Come!” Then another horse came out, a fiery red one.(I) Its rider was given power to take peace from the earth(J) and to make people kill each other. To him was given a large sword.

When the Lamb opened the third seal, I heard the third living creature(K) say, “Come!” I looked, and there before me was a black horse!(L) Its rider was holding a pair of scales in his hand. Then I heard what sounded like a voice among the four living creatures,(M) saying, “Two pounds[a] of wheat for a day’s wages,[b] and six pounds[c] of barley for a day’s wages,[d](N) and do not damage(O) the oil and the wine!”

When the Lamb opened the fourth seal, I heard the voice of the fourth living creature(P) say, “Come!” I looked, and there before me was a pale horse!(Q) Its rider was named Death, and Hades(R) was following close behind him. They were given power over a fourth of the earth to kill by sword, famine and plague, and by the wild beasts of the earth.(S)

When he opened the fifth seal, I saw under(T) the altar(U) the souls of those who had been slain(V) because of the word of God(W) and the testimony they had maintained. 10 They called out in a loud voice, “How long,(X) Sovereign Lord,(Y) holy and true,(Z) until you judge the inhabitants of the earth(AA) and avenge our blood?”(AB) 11 Then each of them was given a white robe,(AC) and they were told to wait a little longer, until the full number of their fellow servants, their brothers and sisters,[e] were killed just as they had been.(AD)

12 I watched as he opened the sixth seal. There was a great earthquake.(AE) The sun turned black(AF) like sackcloth(AG) made of goat hair, the whole moon turned blood red, 13 and the stars in the sky fell to earth,(AH) as figs drop from a fig tree(AI) when shaken by a strong wind. 14 The heavens receded like a scroll being rolled up,(AJ) and every mountain and island was removed from its place.(AK)

15 Then the kings of the earth, the princes, the generals, the rich, the mighty, and everyone else, both slave and free,(AL) hid in caves and among the rocks of the mountains.(AM) 16 They called to the mountains and the rocks, “Fall on us(AN) and hide us[f] from the face of him who sits on the throne(AO) and from the wrath of the Lamb! 17 For the great day(AP) of their[g] wrath has come, and who can withstand it?”(AQ)

Footnotes

  1. Revelation 6:6 Or about 1 kilogram
  2. Revelation 6:6 Greek a denarius
  3. Revelation 6:6 Or about 3 kilograms
  4. Revelation 6:6 Greek a denarius
  5. Revelation 6:11 The Greek word for brothers and sisters (adelphoi) refers here to believers, both men and women, as part of God’s family; also in 12:10; 19:10.
  6. Revelation 6:16 See Hosea 10:8.
  7. Revelation 6:17 Some manuscripts his