Font Size
Matayo 18:1-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:1-5
Neno: Bibilia Takatifu
Aliye Mkuu Katika Ufalme Wa Mbinguni
18 Wakati huo, wanafunzi walimjia Yesu wakamwuliza, “Ni nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa mbinguni?” 2 Yesu akam wita mtoto mdogo akamsimamisha mbele yao. 3 Kisha akasema, “Nawa hakikishieni kwamba msipobadilika na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa mbinguni. 4 Kwa hiyo mtu ye yote anayejinyenyekeza akawa kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa mbinguni.
5 “Na ye yote anayemkaribisha mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, ananikaribisha mimi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica