Add parallel Print Page Options

Yesu Azungumza Kuhusu Kifo Chake

(Mk 9:30-32; Lk 9:43b-45)

22 Baadaye, wafuasi walipokusanyika pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Adamu atakabidhiwa kwenye mamlaka ya watu wengine, 23 watakaomwua. Lakini atafufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu.” Wafuasi waliposikia kuwa Yesu angeuawa walihuzunika sana.

Read full chapter

22 Siku moja walipokuwa pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Adamu atawekwa mikononi mwa watu. 23 Nao watamwua na siku ya tatu atafufuka.” Wakasikitika sana.

Read full chapter