Font Size
Mathayo 17:22-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 17:22-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Azungumza Kuhusu Kifo Chake
(Mk 9:30-32; Lk 9:43b-45)
22 Baadaye, wafuasi walipokusanyika pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Adamu atakabidhiwa kwenye mamlaka ya watu wengine, 23 watakaomwua. Lakini atafufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu.” Wafuasi waliposikia kuwa Yesu angeuawa walihuzunika sana.
Read full chapter
Matayo 17:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 17:22-23
Neno: Bibilia Takatifu
22 Siku moja walipokuwa pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Adamu atawekwa mikononi mwa watu. 23 Nao watamwua na siku ya tatu atafufuka.” Wakasikitika sana.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica