Font Size
Mathayo 14:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 14:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awaponya Watu Wengi Wagonjwa
(Mk 6:53-56)
34 Baada ya kuvuka ziwa, wakafika pwani katika eneo la Genesareti. 35 Baadhi ya watu pale wakamwona Yesu na wakamtambua kuwa ni nani. Hivyo wakatuma ujumbe kwa watu wengine katika eneo lote kuwa Yesu amekuja. Watu wakawaleta wagonjwa wao wote kwake. 36 Walimsihi Yesu awaruhusu waguse tu upindo wa vazi lake ili waponywe. Na wagonjwa wote waliogusa vazi lake waliponywa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International