Font Size
Mathayo 10:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awatuma Kazi Mitume Wake
(Mk 3:13-19; 6:7-13; Lk 6:12-16; 9:1-6)
10 Yesu aliwaita pamoja wafuasi wake kumi na mbili. Akawapa uwezo juu ya pepo wabaya ili waweze kuwafukuza na pia kuponya kila aina ya magonjwa na maradhi. 2 Haya ni majina ya mitume kumi na wawili:
Simoni (ambaye pia aliitwa Petro),
Andrea, kaka yake Petro,
Yakobo, mwana wa Zebedayo,
Yohana, kaka yake Yakobo,
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International