Add parallel Print Page Options

Yesu Aenda Katika Miji Mingine

(Mk 1:35-39)

42 Siku iliyofuata Yesu alijitenga na kwenda mahali ili awe peke yake. Watu wakawa wakimtafuta. Walipompata, walijaribu kumzuia asiondoke. 43 Lakini akawaambia, “Ni lazima nihubiri Habari Njema kuhusu Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.”

44 Kisha Yesu akahubiri Habari Njema katika masinagogi ya Uyahudi.

Read full chapter