Font Size
Luka 17:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Dhambi na Msamaha
(Mt 18:6-7,21-22; Mk 9:42)
17 Yesu akawaambia wafuasi wake, “Mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi yatatokea hakika. Lakini ole wake mtu anayesababisha hili litokee. 2 Ingekuwa vizuri kwa mtu huyo kama jiwe la kusagia lingefungwa shingoni mwake, na akatupwa baharini, kuliko kusababisha mmojawapo wa wanyenyekevu hawa kutenda dhambi.
Read full chapter
Luka 17:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
17 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Majaribu yanayowafanya watu watende dhambi hayana budi kuwepo. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha. 2 Ingekuwa nafuu kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito shingoni na kuzamishwa baharini kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica