Add parallel Print Page Options

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivi ndivyo mnapaswa kuomba:

‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe daima.
    Tunaomba Ufalme wako uje.
Utupe chakula tunachohitaji kila siku.
Utusamehe dhambi zetu,
    kama tunavyomsamehe kila mtu anayetukosea.
Na usiruhusu tukajaribiwa.’”

Read full chapter