Ombi Kuhusu Maombezi

Hatimaye, ndugu wapendwa, tuombeeni ili neno la Mungu lienee upesi na kukubaliwa kama ilivyokuwa kwenu. Ombeni pia kwamba tuokolewe kutokana na watu waovu na wasio na haki, kwa maana si watu wote wanaamini. Lakini Bwana ni mwaminifu. Ata waimarisheni na kuwalinda kutokana na yule mwovu. Nasi tuna tumaini kubwa kwa Bwana juu yenu, kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza. Bwana aielekeze mioyo yenu kwenye upendo wa Mungu na katika ustahimilivu wa Kristo.

Onyo Kuhusu Uvivu

Ndugu wapendwa, katika jina la Bwana Yesu Kristo, tuna waagiza mjitenge na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapeni. Maana ninyi wenyewe mnafa hamu jinsi mnavyopaswa kuiga mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa nanyi wala hatukula chakula cha mtu ye yote pasipo kulipa. Bali tulifanya kazi kwa juhudi usiku na mchana ili tusimlemee mtu ye yote kati yenu. Hatukufanya hivi kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada wenu, bali tulitaka tuwape mfano wa kuiga. 10 Maana tulipokuwa pamoja nanyi tuliwapa amri hii: “Ikiwa mtu hatafanya kazi, basi asile.”

11 Tumesikia kwamba baadhi yenu ni wavivu, hawana shughuli maalumu isipokuwa kusengenya wenzao. 12 Sasa tunawaagiza na kuwaonya watu hao katika jina la Bwana Yesu Kristo, wafanye kazi ili wajipatie chakula wanachokula. 13 Ndugu wapendwa, ninyi msi choke kutenda mema.

14 Ikiwa mtu atakataa kutii maagizo tunayotoa katika barua hii, mwangalieni vema mtu huyo, mjitenge naye, ili apate kuona aibu. 15 Lakini msimhesabu kama adui bali mkanyeni kama ndugu.

Salamu Za Mwisho

16 Sasa, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa njia zote. Bwana na awe nanyi nyote.

17 Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwe nyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote.

Finally, brethren, pray for us, that the word of the Lord may have free course, and be glorified, even as it is with you:

And that we may be delivered from unreasonable and wicked men: for all men have not faith.

But the Lord is faithful, who shall stablish you, and keep you from evil.

And we have confidence in the Lord touching you, that ye both do and will do the things which we command you.

And the Lord direct your hearts into the love of God, and into the patient waiting for Christ.

Now we command you, brethren, in the name of our Lord Jesus Christ, that ye withdraw yourselves from every brother that walketh disorderly, and not after the tradition which he received of us.

For yourselves know how ye ought to follow us: for we behaved not ourselves disorderly among you;

Neither did we eat any man's bread for nought; but wrought with labour and travail night and day, that we might not be chargeable to any of you:

Not because we have not power, but to make ourselves an ensample unto you to follow us.

10 For even when we were with you, this we commanded you, that if any would not work, neither should he eat.

11 For we hear that there are some which walk among you disorderly, working not at all, but are busybodies.

12 Now them that are such we command and exhort by our Lord Jesus Christ, that with quietness they work, and eat their own bread.

13 But ye, brethren, be not weary in well doing.

14 And if any man obey not our word by this epistle, note that man, and have no company with him, that he may be ashamed.

15 Yet count him not as an enemy, but admonish him as a brother.

16 Now the Lord of peace himself give you peace always by all means. The Lord be with you all.

17 The salutation of Paul with mine own hand, which is the token in every epistle: so I write.

18 The grace of our Lord Jesus Christ be with you all. Amen.