Haki Za Mtume

Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana? Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana. Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu. Je? hatuna haki ya kupewa chakula na cha kunywa? Je, hatuna haki ya kusafiri na mke anayeamini kama wanavyofanya mitume wengine na ndugu zake Bwana na Kefa? Au ni Barnaba na mimi tu ambao tunal azimika kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?

Ni askari yupi anayelipa gharama zake mwenyewe akiwa kam bini? Ni mkulima gani anayepanda mizabibu na hali matunda yake? Ni mfugaji yupi asiyekunywa maziwa ya kundi la wanyama wake? Mnadhani nasema haya kwa kutumia mifano ya kila siku tu? Je, sheria haisemi vivyo hivyo? Kwa maana sheria ya Musa inasema, “Usimfunge ng’ombe kinywa wakati anapopura nafaka.” Je? Mnad hani ni ng’ombe ambaye Mungu anamfikiria? 10 Je, Mungu hasemi haya hasa kwa ajili yetu? Kwa kweli haya yalisemwa kwa ajili yetu kwa sababu mtu anapolima na mwingine akapura nafaka, wote wana paswa kufanya hivyo wakiwa na matumaini ya kupata sehemu ya mavuno. 11 Je, ikiwa sisi tumepanda mbegu ya kiroho kati yenu, itakuwa ni kitu kikubwa sana iwapo tutavuna mahitaji ya mwili kutoka kwenu? 12 Kama wengine wana haki ya kupata msaada kutoka kwenu, sisi je, isingepasa tuwe na haki hiyo hata zaidi? Lakini sisi hatukupenda kutumia haki hii, bali tunavumilia kila kitu ili tusije tukaweka kizuizi kwenye Injili ya Kristo.

13 Hamjui kwamba, watu walioajiriwa kazi Hekaluni wanapata chak ula chao hekaluni, na wale wanaohudumu madhabahuni wanapata sehemu ya sadaka zinazotolewa? 14 Vivyo hivyo, Bwana aliagiza kwamba wale wanaohubiri Injili watapata chakula chao kutokana na Injili. 15 Lakini mimi sikutumia haki hizi, na wala siandiki haya ili kudai haki zangu. Ni afadhali nife, kuliko mtu aniondolee haki hii ya kujisifu. 16 Ninapohubiri Injili, siwezi kujisifu kwa sababu ninalazimika kuhubiri. Ole wangu nisipohubiri Injili! 17 Nikihubiri kwa hiari ningetegemea kupata tuzo; lakini ikiwa nalazimika kufanya hivyo, basi ninachofanya ni kutekeleza wajibu wangu. 18 Kwa hali hii tuzo yangu ni nini? Tuzo yangu ni hii, kwamba katika kuhubiri kwangu, nitangaze Injili pasipo kudai cho chote na hivyo nisitumie haki zangu katika kuhubiri Injili.

19 Ingawa mimi ni huru, na si mtumwa wa mtu ye yote, nimeji fanya kuwa mtumwa wa wote, ili niweze kuwavuta wengi iwezeka navyo. 20 Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi ili niweze kuwa vuta Wayahudi. Kwa watu wanaotawaliwa na sheria, nilikuwa kama niliye chini ya sheria, ingawa mimi siko chini ya sheria, ili niweze kuwavuta walio chini ya sheria. 21 Kwa watu wasioijua sheria nilikuwa kama nisiye na sheria, ingawa hii haina maana kwamba sizishiki amri za Mungu, bali niko chini ya sheria ya Kristo, ili niweze kuwavuta wasio na sheria. 22 Kwa wadhaifu nilikuwa mdhaifu ili niweze kuwavuta wadhaifu. Nimekuwa mdhaifu ili niweze kuwavuta wadhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia zote nipate kuwaokoa baadhi yao. 23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nishiriki baraka zake.

24 Mnajua kwamba katika mashindano ya riadha wote wanao shindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu anayepata tuzo. Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa njia itakayowapatia tuzo. 25 Kila mwana-riadha anayeshiriki katika michezo ya mashindano hufanya mazoezi makali. Wanafanya hivyo ili kupokea tuzo ambayo haidumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata tuzo isiyohari bika kamwe. 26 Mimi sikimbii pasipo kuwa na lengo. Sipigani kama mtu anayepiga hewa; 27 lakini nauimarisha mwili wangu na kuutawala, ili baada ya kuwahubiria wengine, mimi mwenyewe nisije nikakataliwa.

Paul’s Rights as an Apostle

Am I not free?(A) Am I not an apostle?(B) Have I not seen Jesus our Lord?(C) Are you not the result of my work in the Lord?(D) Even though I may not be an apostle to others, surely I am to you! For you are the seal(E) of my apostleship in the Lord.

This is my defense to those who sit in judgment on me. Don’t we have the right to food and drink?(F) Don’t we have the right to take a believing wife(G) along with us, as do the other apostles and the Lord’s brothers(H) and Cephas[a]?(I) Or is it only I and Barnabas(J) who lack the right to not work for a living?

Who serves as a soldier(K) at his own expense? Who plants a vineyard(L) and does not eat its grapes? Who tends a flock and does not drink the milk? Do I say this merely on human authority? Doesn’t the Law say the same thing? For it is written in the Law of Moses: “Do not muzzle an ox while it is treading out the grain.”[b](M) Is it about oxen that God is concerned?(N) 10 Surely he says this for us, doesn’t he? Yes, this was written for us,(O) because whoever plows and threshes should be able to do so in the hope of sharing in the harvest.(P) 11 If we have sown spiritual seed among you, is it too much if we reap a material harvest from you?(Q) 12 If others have this right of support from you, shouldn’t we have it all the more?

But we did not use this right.(R) On the contrary, we put up with anything rather than hinder(S) the gospel of Christ.

13 Don’t you know that those who serve in the temple get their food from the temple, and that those who serve at the altar share in what is offered on the altar?(T) 14 In the same way, the Lord has commanded that those who preach the gospel should receive their living from the gospel.(U)

15 But I have not used any of these rights.(V) And I am not writing this in the hope that you will do such things for me, for I would rather die than allow anyone to deprive me of this boast.(W) 16 For when I preach the gospel, I cannot boast, since I am compelled to preach.(X) Woe to me if I do not preach the gospel! 17 If I preach voluntarily, I have a reward;(Y) if not voluntarily, I am simply discharging the trust committed to me.(Z) 18 What then is my reward? Just this: that in preaching the gospel I may offer it free of charge,(AA) and so not make full use of my rights(AB) as a preacher of the gospel.

Paul’s Use of His Freedom

19 Though I am free(AC) and belong to no one, I have made myself a slave to everyone,(AD) to win as many as possible.(AE) 20 To the Jews I became like a Jew, to win the Jews.(AF) To those under the law I became like one under the law (though I myself am not under the law),(AG) so as to win those under the law. 21 To those not having the law I became like one not having the law(AH) (though I am not free from God’s law but am under Christ’s law),(AI) so as to win those not having the law. 22 To the weak I became weak, to win the weak.(AJ) I have become all things to all people(AK) so that by all possible means I might save some.(AL) 23 I do all this for the sake of the gospel, that I may share in its blessings.

The Need for Self-Discipline

24 Do you not know that in a race all the runners run, but only one gets the prize?(AM) Run(AN) in such a way as to get the prize. 25 Everyone who competes in the games goes into strict training. They do it to get a crown(AO) that will not last, but we do it to get a crown that will last forever.(AP) 26 Therefore I do not run like someone running aimlessly;(AQ) I do not fight like a boxer beating the air.(AR) 27 No, I strike a blow to my body(AS) and make it my slave so that after I have preached to others, I myself will not be disqualified for the prize.(AT)

Footnotes

  1. 1 Corinthians 9:5 That is, Peter
  2. 1 Corinthians 9:9 Deut. 25:4

Am I am not an apostle? am I not free? have I not seen Jesus Christ our Lord? are not ye my work in the Lord?

If I be not an apostle unto others, yet doubtless I am to you: for the seal of mine apostleship are ye in the Lord.

Mine answer to them that do examine me is this,

Have we not power to eat and to drink?

Have we not power to lead about a sister, a wife, as well as other apostles, and as the brethren of the Lord, and Cephas?

Or I only and Barnabas, have not we power to forbear working?

Who goeth a warfare any time at his own charges? who planteth a vineyard, and eateth not of the fruit thereof? or who feedeth a flock, and eateth not of the milk of the flock?

Say I these things as a man? or saith not the law the same also?

For it is written in the law of Moses, thou shalt not muzzle the mouth of the ox that treadeth out the corn. Doth God take care for oxen?

10 Or saith he it altogether for our sakes? For our sakes, no doubt, this is written: that he that ploweth should plow in hope; and that he that thresheth in hope should be partaker of his hope.

11 If we have sown unto you spiritual things, is it a great thing if we shall reap your carnal things?

12 If others be partakers of this power over you, are not we rather? Nevertheless we have not used this power; but suffer all things, lest we should hinder the gospel of Christ.

13 Do ye not know that they which minister about holy things live of the things of the temple? and they which wait at the altar are partakers with the altar?

14 Even so hath the Lord ordained that they which preach the gospel should live of the gospel.

15 But I have used none of these things: neither have I written these things, that it should be so done unto me: for it were better for me to die, than that any man should make my glorying void.

16 For though I preach the gospel, I have nothing to glory of: for necessity is laid upon me; yea, woe is unto me, if I preach not the gospel!

17 For if I do this thing willingly, I have a reward: but if against my will, a dispensation of the gospel is committed unto me.

18 What is my reward then? Verily that, when I preach the gospel, I may make the gospel of Christ without charge, that I abuse not my power in the gospel.

19 For though I be free from all men, yet have I made myself servant unto all, that I might gain the more.

20 And unto the Jews I became as a Jew, that I might gain the Jews; to them that are under the law, as under the law, that I might gain them that are under the law;

21 To them that are without law, as without law, (being not without law to God, but under the law to Christ,) that I might gain them that are without law.

22 To the weak became I as weak, that I might gain the weak: I am made all things to all men, that I might by all means save some.

23 And this I do for the gospel's sake, that I might be partaker thereof with you.

24 Know ye not that they which run in a race run all, but one receiveth the prize? So run, that ye may obtain.

25 And every man that striveth for the mastery is temperate in all things. Now they do it to obtain a corruptible crown; but we an incorruptible.

26 I therefore so run, not as uncertainly; so fight I, not as one that beateth the air:

27 But I keep under my body, and bring it into subjection: lest that by any means, when I have preached to others, I myself should be a castaway.