Mafundisho Kutoka Historia Ya Wayahudi

10 Nataka mkumbuke ndugu zangu, kwamba baba zetu wote wali kuwa wakiongozwa na wingu, na wote walipita katikati ya bahari ya Shamu. Wote walibatizwa kama wafuasi wa Musa katika lile wingu na ndani ya ile bahari. Wote walikula kile chakula cha kiroho, na wote walikunywa kile kinywaji cha kiroho. Kwa maana waliku nywa kutoka katika ule mwamba wa kiroho uliofuatana nao; na mwamba huo ulikuwa ni Kristo. Hata hivyo Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo maiti zao zilitapakaa jangwani.

Basi mambo haya ni onyo kwetu, tusitamani uovu kama wao walivyofanya. Msiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyofa nya. Kama Maandiko yasemavyo, “Watu walikaa chini wakala na kunywa, kisha wakainuka kucheza.” Wala tusifanye uasherati kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu elfu ishirini na tatu kwa siku moja. Pia tusimjaribu Bwana, kama wengine walivyofa nya, wakafa kwa kuumwa na nyoka. 10 Msilalamike, kama wengine walivyofanya, wakaangamizwa na malaika wa kifo.

11 Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wen gine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia.

12 Kwa hiyo mtu anayejidhania kwamba anasimama, awe na tahadhari asije akaanguka. 13 Hakuna jaribu lo lote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Na Mungu ni mwaminifu; hata- ruhusu mjaribiwe kupita uwezo wenu. Lakini mnapojaribiwa atawapa na njia ya kutokea ili mweze kustahimili.

14 Kwa hiyo rafiki zangu, msishiriki katika ibada za sanamu. 15 Nasema nanyi kama na watu wenye ufahamu. Amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo. 16 Je? Kikombe cha baraka ambacho tuna kibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Na mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo? 17 Kwa kuwa kuna mkate mmoja, sisi tulio wengi, tu mwili mmoja, kwa kuwa tunashiriki mkate mmoja. 18 Fikirini kuhusu Waisraeli, je, Wanaokula kilichotolewa sadaka hawashiriki katika madhabahu? 19 Je, nikisema hivyo nina taka kusema kwamba sadaka iliyotolewa kwa sanamu au kwamba sanamu ina maana yo yote? 20 La, sivyo. Lakini sadaka inayotolewa kwa sanamu inatolewa kwa mashetani, na sio kwa Mungu. Nami sitaki ninyi muwe na ushirika na mashetani. 21 Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na kunywa katika kikombe cha mashetani pia. Hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya mashe tani. 22 Je, tunataka kujaribu kumfanya Bwana awe na wivu? Je, sisi tuna nguvu kuliko yeye?

Uhuru Wa Mwamini

23 Vitu vyote vinaruhusiwa, lakini si vitu vyote vina faida. ‘Vitu vyote ni halali,’ lakini si vyote vinajenga. 24 Mtu asita fute yale yanayomfaa yeye peke yake, bali atafute yale yanayomfaa jirani yake.

25 Kuleni cho chote kinachouzwa katika masoko ya nyama bila kuuliza maswali kuhusu dhamiri. 26 Kwa maana, ‘Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.’ 27 Kama ukikaribishwa chakula na mtu asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kitakachokuwa mezani bila kuuliza maswali kwa ajili ya dhamiri. 28 Lakini kama ukiam biwa, “Hiki kimetolewa sadaka kwa sanamu,” basi kwa ajili ya huyo aliyekuambia juu ya hicho chakula, na kwa ajili ya dhamiri, usile. 29 Namaanisha dhamiri ya huyo aliyekuambia, si kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine? 30 Kama nakula kwa shukrani, kwa nini nashutu miwa kwa kile ambacho ninatoa shukrani?

31 Basi, lo lote mfanyalo, kama ni kula au ni kunywa, fanyeni mambo yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. 32 Msiwe kik wazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki, au kwa kanisa la Mungu; 33 kama mimi ninavyojaribu kumridhisha kila mtu katika kila kitu ninachofanya. Kwa maana sitafuti kujiridhisha mwenyewe bali nata futa faida ya walio wengi, ili waweze kuokolewa.

Warnings From Israel’s History

10 For I do not want you to be ignorant(A) of the fact, brothers and sisters, that our ancestors were all under the cloud(B) and that they all passed through the sea.(C) They were all baptized into(D) Moses in the cloud and in the sea. They all ate the same spiritual food(E) and drank the same spiritual drink; for they drank from the spiritual rock(F) that accompanied them, and that rock was Christ. Nevertheless, God was not pleased with most of them; their bodies were scattered in the wilderness.(G)

Now these things occurred as examples(H) to keep us from setting our hearts on evil things as they did. Do not be idolaters,(I) as some of them were; as it is written: “The people sat down to eat and drink and got up to indulge in revelry.”[a](J) We should not commit sexual immorality, as some of them did—and in one day twenty-three thousand of them died.(K) We should not test Christ,[b](L) as some of them did—and were killed by snakes.(M) 10 And do not grumble, as some of them did(N)—and were killed(O) by the destroying angel.(P)

11 These things happened to them as examples(Q) and were written down as warnings for us,(R) on whom the culmination of the ages has come.(S) 12 So, if you think you are standing firm,(T) be careful that you don’t fall! 13 No temptation[c] has overtaken you except what is common to mankind. And God is faithful;(U) he will not let you be tempted[d] beyond what you can bear.(V) But when you are tempted,[e] he will also provide a way out so that you can endure it.

Idol Feasts and the Lord’s Supper

14 Therefore, my dear friends,(W) flee from idolatry.(X) 15 I speak to sensible people; judge for yourselves what I say. 16 Is not the cup of thanksgiving for which we give thanks a participation in the blood of Christ? And is not the bread that we break(Y) a participation in the body of Christ?(Z) 17 Because there is one loaf, we, who are many, are one body,(AA) for we all share the one loaf.

18 Consider the people of Israel: Do not those who eat the sacrifices(AB) participate in the altar? 19 Do I mean then that food sacrificed to an idol is anything, or that an idol is anything?(AC) 20 No, but the sacrifices of pagans are offered to demons,(AD) not to God, and I do not want you to be participants with demons. 21 You cannot drink the cup of the Lord and the cup of demons too; you cannot have a part in both the Lord’s table and the table of demons.(AE) 22 Are we trying to arouse the Lord’s jealousy?(AF) Are we stronger than he?(AG)

The Believer’s Freedom

23 “I have the right to do anything,” you say—but not everything is beneficial.(AH) “I have the right to do anything”—but not everything is constructive. 24 No one should seek their own good, but the good of others.(AI)

25 Eat anything sold in the meat market without raising questions of conscience,(AJ) 26 for, “The earth is the Lord’s, and everything in it.”[f](AK)

27 If an unbeliever invites you to a meal and you want to go, eat whatever is put before you(AL) without raising questions of conscience. 28 But if someone says to you, “This has been offered in sacrifice,” then do not eat it, both for the sake of the one who told you and for the sake of conscience.(AM) 29 I am referring to the other person’s conscience, not yours. For why is my freedom(AN) being judged by another’s conscience? 30 If I take part in the meal with thankfulness, why am I denounced because of something I thank God for?(AO)

31 So whether you eat or drink or whatever you do, do it all for the glory of God.(AP) 32 Do not cause anyone to stumble,(AQ) whether Jews, Greeks or the church of God(AR) 33 even as I try to please everyone in every way.(AS) For I am not seeking my own good but the good of many,(AT) so that they may be saved.(AU)

Footnotes

  1. 1 Corinthians 10:7 Exodus 32:6
  2. 1 Corinthians 10:9 Some manuscripts test the Lord
  3. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  4. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  5. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  6. 1 Corinthians 10:26 Psalm 24:1

10 Moreover, brethren, I would not that ye should be ignorant, how that all our fathers were under the cloud, and all passed through the sea;

And were all baptized unto Moses in the cloud and in the sea;

And did all eat the same spiritual meat;

And did all drink the same spiritual drink: for they drank of that spiritual Rock that followed them: and that Rock was Christ.

But with many of them God was not well pleased: for they were overthrown in the wilderness.

Now these things were our examples, to the intent we should not lust after evil things, as they also lusted.

Neither be ye idolaters, as were some of them; as it is written, The people sat down to eat and drink, and rose up to play.

Neither let us commit fornication, as some of them committed, and fell in one day three and twenty thousand.

Neither let us tempt Christ, as some of them also tempted, and were destroyed of serpents.

10 Neither murmur ye, as some of them also murmured, and were destroyed of the destroyer.

11 Now all these things happened unto them for examples: and they are written for our admonition, upon whom the ends of the world are come.

12 Wherefore let him that thinketh he standeth take heed lest he fall.

13 There hath no temptation taken you but such as is common to man: but God is faithful, who will not suffer you to be tempted above that ye are able; but will with the temptation also make a way to escape, that ye may be able to bear it.

14 Wherefore, my dearly beloved, flee from idolatry.

15 I speak as to wise men; judge ye what I say.

16 The cup of blessing which we bless, is it not the communion of the blood of Christ? The bread which we break, is it not the communion of the body of Christ?

17 For we being many are one bread, and one body: for we are all partakers of that one bread.

18 Behold Israel after the flesh: are not they which eat of the sacrifices partakers of the altar?

19 What say I then? that the idol is any thing, or that which is offered in sacrifice to idols is any thing?

20 But I say, that the things which the Gentiles sacrifice, they sacrifice to devils, and not to God: and I would not that ye should have fellowship with devils.

21 Ye cannot drink the cup of the Lord, and the cup of devils: ye cannot be partakers of the Lord's table, and of the table of devils.

22 Do we provoke the Lord to jealousy? are we stronger than he?

23 All things are lawful for me, but all things are not expedient: all things are lawful for me, but all things edify not.

24 Let no man seek his own, but every man another's wealth.

25 Whatsoever is sold in the shambles, that eat, asking no question for conscience sake:

26 For the earth is the Lord's, and the fulness thereof.

27 If any of them that believe not bid you to a feast, and ye be disposed to go; whatsoever is set before you, eat, asking no question for conscience sake.

28 But if any man say unto you, this is offered in sacrifice unto idols, eat not for his sake that shewed it, and for conscience sake: for the earth is the Lord's, and the fulness thereof:

29 Conscience, I say, not thine own, but of the other: for why is my liberty judged of another man's conscience?

30 For if I by grace be a partaker, why am I evil spoken of for that for which I give thanks?

31 Whether therefore ye eat, or drink, or whatsoever ye do, do all to the glory of God.

32 Give none offence, neither to the Jews, nor to the Gentiles, nor to the church of God:

33 Even as I please all men in all things, not seeking mine own profit, but the profit of many, that they may be saved.