Mafundisho Kutoka Historia Ya Wayahudi

10 Nataka mkumbuke ndugu zangu, kwamba baba zetu wote wali kuwa wakiongozwa na wingu, na wote walipita katikati ya bahari ya Shamu. Wote walibatizwa kama wafuasi wa Musa katika lile wingu na ndani ya ile bahari. Wote walikula kile chakula cha kiroho, na wote walikunywa kile kinywaji cha kiroho. Kwa maana waliku nywa kutoka katika ule mwamba wa kiroho uliofuatana nao; na mwamba huo ulikuwa ni Kristo. Hata hivyo Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo maiti zao zilitapakaa jangwani.

Basi mambo haya ni onyo kwetu, tusitamani uovu kama wao walivyofanya. Msiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyofa nya. Kama Maandiko yasemavyo, “Watu walikaa chini wakala na kunywa, kisha wakainuka kucheza.” Wala tusifanye uasherati kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu elfu ishirini na tatu kwa siku moja. Pia tusimjaribu Bwana, kama wengine walivyofa nya, wakafa kwa kuumwa na nyoka. 10 Msilalamike, kama wengine walivyofanya, wakaangamizwa na malaika wa kifo.

11 Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wen gine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia.

12 Kwa hiyo mtu anayejidhania kwamba anasimama, awe na tahadhari asije akaanguka. 13 Hakuna jaribu lo lote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Na Mungu ni mwaminifu; hata- ruhusu mjaribiwe kupita uwezo wenu. Lakini mnapojaribiwa atawapa na njia ya kutokea ili mweze kustahimili.

14 Kwa hiyo rafiki zangu, msishiriki katika ibada za sanamu. 15 Nasema nanyi kama na watu wenye ufahamu. Amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo. 16 Je? Kikombe cha baraka ambacho tuna kibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Na mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo? 17 Kwa kuwa kuna mkate mmoja, sisi tulio wengi, tu mwili mmoja, kwa kuwa tunashiriki mkate mmoja. 18 Fikirini kuhusu Waisraeli, je, Wanaokula kilichotolewa sadaka hawashiriki katika madhabahu? 19 Je, nikisema hivyo nina taka kusema kwamba sadaka iliyotolewa kwa sanamu au kwamba sanamu ina maana yo yote? 20 La, sivyo. Lakini sadaka inayotolewa kwa sanamu inatolewa kwa mashetani, na sio kwa Mungu. Nami sitaki ninyi muwe na ushirika na mashetani. 21 Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na kunywa katika kikombe cha mashetani pia. Hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya mashe tani. 22 Je, tunataka kujaribu kumfanya Bwana awe na wivu? Je, sisi tuna nguvu kuliko yeye?

Uhuru Wa Mwamini

23 Vitu vyote vinaruhusiwa, lakini si vitu vyote vina faida. ‘Vitu vyote ni halali,’ lakini si vyote vinajenga. 24 Mtu asita fute yale yanayomfaa yeye peke yake, bali atafute yale yanayomfaa jirani yake.

25 Kuleni cho chote kinachouzwa katika masoko ya nyama bila kuuliza maswali kuhusu dhamiri. 26 Kwa maana, ‘Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.’ 27 Kama ukikaribishwa chakula na mtu asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kitakachokuwa mezani bila kuuliza maswali kwa ajili ya dhamiri. 28 Lakini kama ukiam biwa, “Hiki kimetolewa sadaka kwa sanamu,” basi kwa ajili ya huyo aliyekuambia juu ya hicho chakula, na kwa ajili ya dhamiri, usile. 29 Namaanisha dhamiri ya huyo aliyekuambia, si kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine? 30 Kama nakula kwa shukrani, kwa nini nashutu miwa kwa kile ambacho ninatoa shukrani?

31 Basi, lo lote mfanyalo, kama ni kula au ni kunywa, fanyeni mambo yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. 32 Msiwe kik wazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki, au kwa kanisa la Mungu; 33 kama mimi ninavyojaribu kumridhisha kila mtu katika kila kitu ninachofanya. Kwa maana sitafuti kujiridhisha mwenyewe bali nata futa faida ya walio wengi, ili waweze kuokolewa.

Warnings From Israel’s History

10 For I do not want you to be ignorant(A) of the fact, brothers and sisters, that our ancestors were all under the cloud(B) and that they all passed through the sea.(C) They were all baptized into(D) Moses in the cloud and in the sea. They all ate the same spiritual food(E) and drank the same spiritual drink; for they drank from the spiritual rock(F) that accompanied them, and that rock was Christ. Nevertheless, God was not pleased with most of them; their bodies were scattered in the wilderness.(G)

Now these things occurred as examples(H) to keep us from setting our hearts on evil things as they did. Do not be idolaters,(I) as some of them were; as it is written: “The people sat down to eat and drink and got up to indulge in revelry.”[a](J) We should not commit sexual immorality, as some of them did—and in one day twenty-three thousand of them died.(K) We should not test Christ,[b](L) as some of them did—and were killed by snakes.(M) 10 And do not grumble, as some of them did(N)—and were killed(O) by the destroying angel.(P)

11 These things happened to them as examples(Q) and were written down as warnings for us,(R) on whom the culmination of the ages has come.(S) 12 So, if you think you are standing firm,(T) be careful that you don’t fall! 13 No temptation[c] has overtaken you except what is common to mankind. And God is faithful;(U) he will not let you be tempted[d] beyond what you can bear.(V) But when you are tempted,[e] he will also provide a way out so that you can endure it.

Idol Feasts and the Lord’s Supper

14 Therefore, my dear friends,(W) flee from idolatry.(X) 15 I speak to sensible people; judge for yourselves what I say. 16 Is not the cup of thanksgiving for which we give thanks a participation in the blood of Christ? And is not the bread that we break(Y) a participation in the body of Christ?(Z) 17 Because there is one loaf, we, who are many, are one body,(AA) for we all share the one loaf.

18 Consider the people of Israel: Do not those who eat the sacrifices(AB) participate in the altar? 19 Do I mean then that food sacrificed to an idol is anything, or that an idol is anything?(AC) 20 No, but the sacrifices of pagans are offered to demons,(AD) not to God, and I do not want you to be participants with demons. 21 You cannot drink the cup of the Lord and the cup of demons too; you cannot have a part in both the Lord’s table and the table of demons.(AE) 22 Are we trying to arouse the Lord’s jealousy?(AF) Are we stronger than he?(AG)

The Believer’s Freedom

23 “I have the right to do anything,” you say—but not everything is beneficial.(AH) “I have the right to do anything”—but not everything is constructive. 24 No one should seek their own good, but the good of others.(AI)

25 Eat anything sold in the meat market without raising questions of conscience,(AJ) 26 for, “The earth is the Lord’s, and everything in it.”[f](AK)

27 If an unbeliever invites you to a meal and you want to go, eat whatever is put before you(AL) without raising questions of conscience. 28 But if someone says to you, “This has been offered in sacrifice,” then do not eat it, both for the sake of the one who told you and for the sake of conscience.(AM) 29 I am referring to the other person’s conscience, not yours. For why is my freedom(AN) being judged by another’s conscience? 30 If I take part in the meal with thankfulness, why am I denounced because of something I thank God for?(AO)

31 So whether you eat or drink or whatever you do, do it all for the glory of God.(AP) 32 Do not cause anyone to stumble,(AQ) whether Jews, Greeks or the church of God(AR) 33 even as I try to please everyone in every way.(AS) For I am not seeking my own good but the good of many,(AT) so that they may be saved.(AU)

Footnotes

  1. 1 Corinthians 10:7 Exodus 32:6
  2. 1 Corinthians 10:9 Some manuscripts test the Lord
  3. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  4. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  5. 1 Corinthians 10:13 The Greek for temptation and tempted can also mean testing and tested.
  6. 1 Corinthians 10:26 Psalm 24:1