Font Size
Luka 9:49-50
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:49-50
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Asiye Kinyume Nanyi ni Mmoja Wenu
(Mk 9:38-40)
49 Yohana akajibu; “Bwana mkubwa, tuliona mtu anatoa pepo kutoka kwa watu akitumia jina lako. Tulimwambia aache kwa sababu hayuko katika kundi letu.”
50 Yesu akamwambia, “Msimkataze. Asiye kinyume nanyi yu pamoja nanyi.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International