Ndugu zangu, mkimwona mtu amenaswa katika dhambi fulani, basi ninyi mnaoongozwa na Roho, mrejesheni mtu huyo kwa upole. Lakini mjihadhari, ili na ninyi msije mkajaribiwa. Chukulianeni mizigo yenu; na kwa njia hiyo mtaweza kutimiza sheria ya Kristo. Mtu akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe siyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. Lakini, kila mtu apime mwenendo wake, ndipo anaweza kuwa na sababu ya kujisifu bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine. Kwa maana, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. Basi, mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake vitu vyote vilivyo vyema.

Msidanganyike, Mungu hadanganywi. Kwa maana kila mtu ata vuna kile alichopanda. Mtu apandaye katika tamaa za mwili, ata vuna kutoka katika mwili uharibifu; lakini yeye apandaye katika Roho, atavuna kutoka katika Roho uzima wa milele. Basi, tusi choke kutenda mema, kwa sababu kama hatukuchoka tutavuna kwa wakati wake. 10 Kwa hiyo basi, kadiri tunavyopata nafasi, tuwa tendee mema watu wote, na hasa wale tunaoshiriki imani moja.

Maonyo Ya Mwisho Na Salamu

11 Tazameni jinsi maandishi ya mkono wangu mwenyewe yalivyo makubwa. 12 Ni wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaowalazimisheni mtahiriwe; na wanafanya hivyo ili wao wenyewe wasije kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo. 13 Kwa maana hata wao wenyewe waliotahiriwa hawashiki sheria; lakini wanataka na ninyi mtahiriwe ili wapate kujivunia hiyo alama katika miili yenu. 14 Lakini mimi kamwe sitajivunia kitu cho chote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; kwa maana kwa njia ya msalaba, ulimwengu umesulubiwa kwangu, na mimi nimesulubiwa kwa ulimwengu. 15 Kwa maana, kutahiriwa au kutota hiriwa si kitu kwangu; kitu cha maana ni maisha ya watu kubadili ika kuwa mapya. 16 Amani na rehema ya Mungu ikae na wote wanao fuata kanuni hii, na kwa Israeli ya kweli ya Mungu.

17 Basi, tangu sasa mtu ye yote asije akanisumbua, kwa sababu ninazo alama za Yesu mwilini mwangu.

Doing Good to All

Brothers and sisters, if someone is caught in a sin, you who live by the Spirit(A) should restore(B) that person gently. But watch yourselves, or you also may be tempted. Carry each other’s burdens, and in this way you will fulfill the law of Christ.(C) If anyone thinks they are something(D) when they are not, they deceive themselves.(E) Each one should test their own actions. Then they can take pride in themselves alone,(F) without comparing themselves to someone else,(G) for each one should carry their own load.(H) Nevertheless, the one who receives instruction in the word should share all good things with their instructor.(I)

Do not be deceived:(J) God cannot be mocked. A man reaps what he sows.(K) Whoever sows to please their flesh,(L) from the flesh will reap destruction;(M) whoever sows to please the Spirit, from the Spirit will reap eternal life.(N) Let us not become weary in doing good,(O) for at the proper time we will reap a harvest if we do not give up.(P) 10 Therefore, as we have opportunity, let us do good(Q) to all people, especially to those who belong to the family(R) of believers.

Not Circumcision but the New Creation

11 See what large letters I use as I write to you with my own hand!(S)

12 Those who want to impress people by means of the flesh(T) are trying to compel you to be circumcised.(U) The only reason they do this is to avoid being persecuted(V) for the cross of Christ. 13 Not even those who are circumcised keep the law,(W) yet they want you to be circumcised that they may boast about your circumcision in the flesh.(X) 14 May I never boast except in the cross of our Lord Jesus Christ,(Y) through which[a] the world has been crucified to me, and I to the world.(Z) 15 Neither circumcision nor uncircumcision means anything;(AA) what counts is the new creation.(AB) 16 Peace and mercy to all who follow this rule—to[b] the Israel of God.

17 From now on, let no one cause me trouble, for I bear on my body the marks(AC) of Jesus.

18 The grace of our Lord Jesus Christ(AD) be with your spirit,(AE) brothers and sisters. Amen.

Footnotes

  1. Galatians 6:14 Or whom
  2. Galatians 6:16 Or rule and to