Wimbo Wa Musa Na Mwana-Kondoo

15 Ndipo nikaona ishara nyingine mbinguni, ishara kubwa na ya ajabu: malaika saba wenye maafa saba ya mwisho, kwa maana, maafa hayo yanakamilisha ghadhabu ya Mungu.

Na nikaona kitu kama bahari ya kioo imechanganyika na moto. Na kando ya hiyo bahari, walikuwa wamesimama wale watu waliom shinda yule mnyama na sanamu yake pamoja na namba ya jina lake. Walikuwa wameshika vinubi walivyopewa na Mungu. Nao waliimba wimbo wa Musa, mtumishi wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo wakisema, ‘ ‘Matendo yako Bwana Mungu Mwenyezi, ni makuu na ya ajabu! Njia zako wewe Mfalme wa Mataifa ni za haki na za kweli! Ni nani asiyekucha wewe Bwana na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako ni mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kukuabudu kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha dhihirishwa.”

Baada ya hapo nikatazama, nikaona mbinguni Hekalu, yaani hema ya ushuhuda, imefunguliwa. Basi wale malaika saba wenye maafa saba wakatoka humo Hekaluni wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zing’aazo na vifuani mwao walivaa mikanda ya dhahabu. Kisha mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai, akawapa wale mal aika saba mabakuli saba ya dhahabu yalizojaa ghadhabu ya Mungu aishiye milele na milele. Na Hekalu ilijaa moshi uliotokana na utukufu na uweza wake, wala hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka yale maafa saba ya wale malaika saba yakamilike.

Seven Angels With Seven Plagues

15 I saw in heaven another great and marvelous sign:(A) seven angels(B) with the seven last plagues(C)—last, because with them God’s wrath is completed. And I saw what looked like a sea of glass(D) glowing with fire and, standing beside the sea, those who had been victorious(E) over the beast(F) and its image(G) and over the number of its name.(H) They held harps(I) given them by God and sang the song of God’s servant(J) Moses(K) and of the Lamb:(L)

“Great and marvelous are your deeds,(M)
    Lord God Almighty.(N)
Just and true are your ways,(O)
    King of the nations.[a]
Who will not fear you, Lord,(P)
    and bring glory to your name?(Q)
For you alone are holy.
All nations will come
    and worship before you,(R)
for your righteous acts(S) have been revealed.”[b]

After this I looked, and I saw in heaven the temple(T)—that is, the tabernacle of the covenant law(U)—and it was opened.(V) Out of the temple(W) came the seven angels with the seven plagues.(X) They were dressed in clean, shining linen(Y) and wore golden sashes around their chests.(Z) Then one of the four living creatures(AA) gave to the seven angels(AB) seven golden bowls filled with the wrath of God, who lives for ever and ever.(AC) And the temple was filled with smoke(AD) from the glory of God and from his power, and no one could enter the temple(AE) until the seven plagues of the seven angels were completed.

Footnotes

  1. Revelation 15:3 Some manuscripts ages
  2. Revelation 15:4 Phrases in this song are drawn from Psalm 111:2,3; Deut. 32:4; Jer. 10:7; Psalms 86:9; 98:2.