Mnyama Kutoka Baharini

13 Kisha nikaona mnyama akitoka baharini. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba na taji kumi kwenye pembe zake. Na kila kichwa kiliandikwa jina la kufuru. Huyo mnyama alifanana kama chui lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kinywa chake kama cha simba. Lile joka lilimpa mnyama huyo nguvu zake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu. Kichwa kimoja cha huyo mnyama kilione kana kama kilikwisha kuwa na jeraha lisiloweza kupona, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona na dunia nzima ilimstaajabia huyo mnyama na kumfuata. Watu waliliabudu lile joka kwa sababu lili kuwa limempa huyo mnyama uwezo wake. Pia walimwabudu huyo mnyama wakisema, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?”

Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujisifu na ya kufuru na akapewa haki ya kutawala kwa muda wa miezi arobaini na miwili. Alisema maneno ya kumkufuru Mungu, akilitukana jina lake na mahali aishipo, yaani, aliwatukana wale waishio mbinguni. Pia aliruhusiwa kuwapiga vita watu wa Mungu na kuwashinda. Alipewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, kila ukoo, kila lugha na taifa. Na watu wote waishio duniani watamwabudu, yaani kila mmoja ambaye tangu kabla ya ulimwengu kuumbwa, jina lake haliku andikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa.

“Aliye na nia ya kusikia, asikilize kwa makini: 10 Ye yote aliyepangiwa kuchukuliwa mateka atatekwa. Mtu ye yote akiua kwa upanga atauawa kwa upanga. Na hii ndio nafasi ya watu wa

Mnyama Kutoka Ardhini

11 Kisha nikamwona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika ardhi. Alikuwa na pembe mbili kama za mwana kondoo lakini aliongea kama joka. 12 Naye alitumia uwezo wote wa yule mnyama wa kwanza aliyemtangulia. Akalazimisha dunia yote na wote waliomo duniani wamwabudu huyo mnyama wa kwanza aliyekuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona. 13 Huyu mnyama wa pili akafanya miu jiza ya ajabu hata kufanya moto utoke mbinguni na kushuka duniani mbele ya watu. 14 Kwa njia ya miujiza aliyowezeshwa kufanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, aliwadanganya watu waishio duniani. Aliwaamuru watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi. 15 Kisha akawe zeshwa kuipatia pumzi ile sanamu ya mnyama wa kwanza hata ikaweza kuongea na kufanya wale wote ambao hawakuiabudu wauawe. 16 Pia aliwalazimisha watu wote, wakubwa kwa wadogo, matajiri na mas kini, watu huru na watumwa, watiwe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao. 17 Hakuna mtu ye yote ambaye angeweza kununua au kuuza kitu kama hana alama ile, yaani jina la huyo mnyama au namba ya jina lake.

18 Jambo hili linahitaji hekima. Mwenye akili ya kutambua apige hesabu ya mnyama huyo kwa sababu ni namba ya mtu. Namba yake ni mia sita sitini na sita.

The Beast out of the Sea

13 The dragon[a] stood on the shore of the sea. And I saw a beast coming out of the sea.(A) It had ten horns and seven heads,(B) with ten crowns on its horns, and on each head a blasphemous name.(C) The beast I saw resembled a leopard,(D) but had feet like those of a bear(E) and a mouth like that of a lion.(F) The dragon gave the beast his power and his throne and great authority.(G) One of the heads of the beast seemed to have had a fatal wound, but the fatal wound had been healed.(H) The whole world was filled with wonder(I) and followed the beast. People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, “Who is like(J) the beast? Who can wage war against it?”

The beast was given a mouth to utter proud words and blasphemies(K) and to exercise its authority for forty-two months.(L) It opened its mouth to blaspheme God, and to slander his name and his dwelling place and those who live in heaven.(M) It was given power to wage war(N) against God’s holy people and to conquer them. And it was given authority over every tribe, people, language and nation.(O) All inhabitants of the earth(P) will worship the beast—all whose names have not been written in the Lamb’s book of life,(Q) the Lamb(R) who was slain from the creation of the world.[b](S)

Whoever has ears, let them hear.(T)

10 “If anyone is to go into captivity,
    into captivity they will go.
If anyone is to be killed[c] with the sword,
    with the sword they will be killed.”[d](U)

This calls for patient endurance and faithfulness(V) on the part of God’s people.(W)

The Beast out of the Earth

11 Then I saw a second beast, coming out of the earth.(X) It had two horns like a lamb, but it spoke like a dragon.(Y) 12 It exercised all the authority(Z) of the first beast on its behalf,(AA) and made the earth and its inhabitants worship the first beast,(AB) whose fatal wound had been healed.(AC) 13 And it performed great signs,(AD) even causing fire to come down from heaven(AE) to the earth in full view of the people. 14 Because of the signs(AF) it was given power to perform on behalf of the first beast, it deceived(AG) the inhabitants of the earth.(AH) It ordered them to set up an image in honor of the beast who was wounded by the sword and yet lived.(AI) 15 The second beast was given power to give breath to the image of the first beast, so that the image could speak and cause all who refused to worship(AJ) the image to be killed.(AK) 16 It also forced all people, great and small,(AL) rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hands or on their foreheads,(AM) 17 so that they could not buy or sell unless they had the mark,(AN) which is the name of the beast or the number of its name.(AO)

18 This calls for wisdom.(AP) Let the person who has insight calculate the number of the beast, for it is the number of a man.[e](AQ) That number is 666.

Footnotes

  1. Revelation 13:1 Some manuscripts And I
  2. Revelation 13:8 Or written from the creation of the world in the book of life belonging to the Lamb who was slain
  3. Revelation 13:10 Some manuscripts anyone kills
  4. Revelation 13:10 Jer. 15:2
  5. Revelation 13:18 Or is humanity’s number